ASKARI WATATU WA JESHI LA ZIMAMOTO SHINYANGA WAPANDISHWA VYEO KUWA SAJINI WA ZIMAMOTO

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Shinyanga, ASF. Thomas Majuto, kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania, amevika vyeo askari watatu wa Mkoa wa Shinyanga kutoka cheo cha Koplo (CPL) hadi Sajini (SGT). Hafla hii ya kihistoria imefanyika leo katika kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Shinyan...

KATAMBI AKABIDHI COMBAT VIJANA ITIFAKI CCM WILAYA YA SHINYANGA MJINI

Na Marco Maduhu,SHINYANGAMBUNGE wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi,ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi,Vijana,Ajira na watu wenye ulemavu,amekabidhi Combat 100 kwa Itifaki ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana UVCCM wilaya ya Shinyanga Mji...

RC MACHA AZINDUA BANGO LA KISWAHILI MRADI UJENZI BARABARA YA LAMI KAHAMA –BULYANHULU JCT- KAKOLA, AIPONGEZA TANROADS

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha (aliyevaa miwani)akizindua Bango la Kwanza lililoandikwa kwa Lugha ya Kiswahili linaloelezea utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama – Bulyanhulu JCT- Kakola Na Kadama Malunde – Malunde 1 blogMkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amezindua Bango la Kwanza lililoandikwa kwa lugha ya Kiswahili linaloelezea utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama – Bulyanhulu JCT- Kakola  yenye urefu wa Km 73 ikiwa ni utekelezaji wa ushauri wake wa kuanza kutumia Lugha ya Kiswahili  katika Mabango  yote ya miradi ndani ya Mkoa wa Shinyanga.Akizungumza wakati wa...

BENKI YA CRDB YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI 'SUD' KUONESHA FURSA ZA UWEKEZAJI

Benki ya CRDB imeshiriki maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Tabora katika Viwanja vya Ipuli.Maadhimisho hayo yaliyoanza tarehe 29 Juni 2024 na kuhitimishwa leo tarehe 6 Julai,2024 yalifunguliwa na Naibu Waziri wa Kilimo Mh. David Silinde na kufungwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko.Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Abdulmajid Nsekela aliungana na wafanyakazi wa Benki ya CRDB kutoka Makao Makuu wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Biashara, Maregesi Shaaban, pamoja...

SHEREHE YA WENYE VITI WA MITAA ,VIJIJI NA VITONGOJI MANISPAA YA SHINYANGA YAFANA SHY COM

Wenyeviti wa mitaa ,vijiji na vitongoji Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wamefanya sherehe ya kujipongeza kwa utendaji kazi wao wa miaka mitano.Sherehe hiyo imefanyika katika ukumbi wa chuo cha walimu Shinyanga ikiambatana na zoezi la kuchangia damu katika benki ya damu iliyopo katika hospitali ya Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga kwa lengo la kusaidia makundi ya wagonjwa wenye uhitaji wa damu wakiwemo wajawazito,watoto na waathirika wa ajali.Kwa upande wake mgeni rasmi katika Sherehe hiyo Anord Makombe ambaye ni mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Shinyanga Mjini amewataka wenyeviti hao kuendelea kufanya kazi...

MAADHIMISHO YA UPANDAJI MITI KITAIFA SHINYANGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kishapu(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya upandaji miti Kitaifa, ambayo mwaka huu yamefanyika katika Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Nyabaganga Taraba wakiangalia viatu vya ngozi vinavyotengenezwa na wajasiriamali Wilaya ya Kishapu katika maonesho ya bidhaa mbalimbali ikiwa ni kuadhimisha siku...

RC SHINYANGA AWATAHADHALISHA WAHARIBIFU WA MISITU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telak akizungumza na watalaamu pamoja na wadau wa uhifadhi walioshiriki jana kwenye  kongamano ambalo lilikuwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya upandaji miti ambayo Kitaifa inafanyika Mkoani Shinyanga wilayani Kishapu.  Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Dkt. Ezekiel Mwakalukwa akijibu hoja zilizotolewa na wadau mbalimbali  wa uhifadhi wa Misitu jana  wakati wa kongamano ambalo lilikuwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya...
 
Supported by Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Shinyanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa