Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Shinyanga,
ASF. Thomas Majuto, kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji Tanzania, amevika vyeo askari watatu wa Mkoa
wa Shinyanga kutoka cheo cha Koplo (CPL) hadi Sajini (SGT).
Hafla hii ya kihistoria imefanyika leo katika kituo cha
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Shinyanga.
0 comments:
Post a Comment