Home » » TAARIFA YA MSIBA

TAARIFA YA MSIBA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


T'shombe Gilbert Abwao anasikitika sana kutangaza kifo cha Binti yake wa kwanza Marsella Gilbert Abwao, mkuu wa George na Chiku Abwao ,Dada wa Pauline, Pendo na Issac kilichotokea jana saa 9 mchana huko Shinyanga.

Kwa kweli tuna huzuni kubwa na hakuna maneno ya kuelezea ni jinsi gani tulivyo na huzuni ila ni mioyo yetu tu ndo yaweza kuelezea.

TWAMSHUKURU  MWENYEZI Mungu kwa yote kwanni HAWAZI KUKUPA  MSALABA USIOWEZA KUUBEBA.

Na kwa KWAKE BWANA  hakuna kilichoharibika.
Tunaomba aiweke ROHO YAKE mahali pema PEPONI.
AMINA.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Shinyanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa