Home » » LEMBELI AANGUKA:- MATOKEO JIMBO LA KAHAMA MJINI.

LEMBELI AANGUKA:- MATOKEO JIMBO LA KAHAMA MJINI.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kahama mjini kabla ya kutimkia CHADEMA James Lembeli na hapa alibebwa na wafuasi wa chama hicho mara baada ya kujitoa CCM.
Na Emmanuel Mlelekwa: JEMBE FM
Octoba 26,2015
KAHAMA
Mgombea  ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Kahama Mjini  Jumanne  Kishimba ametangazwa kushinda kiti hicho  na kuwashinda wapinzani wake James Lembeli kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Bobson Wambura wa chama cha ACT wazalendo. 

ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA TAARIFA YA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.


CHANZO GSENGO

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Shinyanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa