Home » » BALIMI YAZINDUA MUONEKANO MPYA SHINYANGA

BALIMI YAZINDUA MUONEKANO MPYA SHINYANGA

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza(kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa na Meneja mauzo wa Mkoa wa Shinyanga, Robert Michael.
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wakina Dada walioshona sare za Balimi Extra Lager wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.

0 comments:

 
Supported by Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Shinyanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa